OTTAWA (IQNA) - Wakati wa ziara yake ya kutembelea msikiti mjini Toronto, Waziri Mkuu wa Canada amezomewa na hadhirina kotokana na msimamo wake kuhusu mauajii yanayoendelea kufanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya raia wa Ukanda wa Gaza huko Palestina ambako amepatwa na tahayuri asijue la kufanya
Habari ID: 3477769 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/22
OTAWWA (IQNA) - Mwanaume huko Toronto, Kanada, anatafutwa na polisi kwa kuharibu msikiti mara mbili ndani ya wiki moja.
Habari ID: 3477734 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/15
Hali ya Waislamu duniani
Waislamu nchini Kanada wamelalamikia marufuku ya kusali iliyowekwa katika shule za serikali jimboni Quebec.
Habari ID: 3477029 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/22
Waislamu Kanada
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Kanada (Canada) imemteua Amira Elghawaby kama mwakilishi wa kwanza maalum wa nchi hiyo katika kupambana na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia).
Habari ID: 3476474 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/27